Wednesday, November 9, 2011

Je wajua?


Mikoko ni moja ya rasilimali muhimu sana katika kuhifadhi mazingira ya pwani na bahari. Huzuia mmomonyoko unaosababishwa na mawimbi ya bahari na pia kutumika kama mazalia ya samaki. Angalia mikoko hii inavyopendeza.


No comments:

Post a Comment