Friday, September 16, 2011

Angalia mazingira yanavyopendeza


Hebu fikiri mazingira ya Pwani Yetu yangekuwa mazuri kama bwawa hili katika kijiji cha Kitonga wilayani Bagamoyo.

Ukataji Miti




Biashara ya mkaa ni moja ya shughuli za binadamu zinazoharibu mazingira ya Pwani Yetu. Gari lililosheheni mkaa lilinaswa na mpiga picha wetu hivi karibuni katika barabara ya Bagamoyo eneo la Tegeta.