Monday, May 6, 2013

SACCOS yasaidia kunyanyua kilimo Mkange

Shamba la mahindi na ufuta ambalo limelimwa kutokana na mkopo uliopatika kutoka SACCOS ya UWAMKE
Mwanachama wa SACCOS ya Mkange akiwa katika shamba lake la ekari nane ambalo amelima mahindi na ufuta kutokana na mkopo wa shilingi milioni mbili kutoka SACCOS hiyo.
Mratibu wa mradi wa kukuza uchumi wa TCMP Pwani Patrick Kajubili akiwa katika shamba la ufuta na mahindi la mwanachama wa SACCOS.

Mwenyekiti wa SACCOS ya Umoja wa Wanawake Mkange (UWAMKE), Mashavu Ali akiwa na mwenyekiti wa kijiji cha Mkange katika shamba lake la ufuta kijijini hapo. Alianzisha shamba hilo kutokana na kukopa katika SACCOS hiyo.