Thursday, March 7, 2013

Mafunzo ya PHE

Mafunzo ya Idadi ya Watu, Afya na Mazingira (PHE) yaliyofanyika mjini Bagamoyo kuanzia tarehe 18 hadi 28 Februari yalikusanya wataalam wa mazingira kutoka nchi mbalimbali duniani. Mafunzo hayo yalikuwa ya vitendo zaidi. Juu kikundi cha kujadiliana kikiwa katika majdala mkali
 
Mafunzo yaliyokuwa ya vitendo zaidi yalitumia  dhana mbalimbali za kufundishia zilitumika
 
Michezo ya kuigiza pia ilitumika ili kufikisha ujumbe kwa washiriki katika mafunzo hayo
 



No comments:

Post a Comment