Monday, November 12, 2012

Ujasiriamali Unaopunguza Matumizi ya Kuni




Rukia Seif wa kijiji cha Mkalamo akijishughulisha na kazi ya uokaji mikate katika jiko banifu. Picha ya chini ni Mkurugenzi wa Mradi wa Pwani, Baraka Kalangahe akiangalia jiko hilo katika ziara yake ya hivi karibuni ya kukagua shughuli zinazofanywa na wanavikundi wanaopata msaada kutoka Mradi wa Pwani katika wilaya ya Pangani. Jiko hilo banifu hutumia kuni chache, halitoi moshi mwingi na pia linamfanya Rukia kujishughulisha na shughuli ambazo ni rafiki kwa mazingira. 

No comments:

Post a Comment