Monday, October 24, 2011

Mambo ya Teknohama




Waandishi na watengenezaji vipindi vya redio na televisheni wakijifunza jinsi ya kuanzisha redio za intaneti kwa kutumia programu ya Podomatic katika Kituo cha Mafunzo ya Maendeleo ya Kimataifa, IFM Dar Es Salaam. Ofisa Mawasiliano wa TCMP, Marko Gideon (hayupo pichani) alikuwa miongoni mwa washiriki katika mafunzo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika na Shirika la Maendeleo, Vyombo vya Habari na Mawasiliano (VIKES) la Finland Oktoba 24 - 28, 2011

No comments:

Post a Comment