Friday, September 16, 2011

Ukataji Miti




Biashara ya mkaa ni moja ya shughuli za binadamu zinazoharibu mazingira ya Pwani Yetu. Gari lililosheheni mkaa lilinaswa na mpiga picha wetu hivi karibuni katika barabara ya Bagamoyo eneo la Tegeta.

No comments:

Post a Comment